January 25, 2014

 Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic leo aliibuka kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam na kuufuatilia kwa karibu mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Yanga na Ashanti.



Katika mechi hiyo ambayo Yanga ilishinda kwa mabao 2-1, Logarusic alikuwa akishuhudia kwa umakini mkubwa.
Aliendelea kushuhudia akiwa karibu na bosi wa kamati ya Ufundi ya Simba, Ibrahim Masoud ambaye pia alikuwa makini sana.
Baada ya mechi, Logarusic alipoulizwa, alijibu kwa kifupi tu: “Nilikuja kuangalia mechi kama mashabiki wengine.
Simba inashuka dimbani kesho Jumapili kuuanza mzunguko wa pili kwa kuwavaa Rhino ya Tabora.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic