January 26, 2014





Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusi amesema kikosi chake kipo tayari kwa ajili ya mechi ya leo.
 
Simba inashuka dimbani leo kucheza mechi yake ya kwanza ya mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Bara.
Akizungumza leo asubuhi amesema wanaichukulia mechi hiyo kwa uzito mkubwa na pointi tatu ndiyo zitawapa dira nzuri.
“Tukishinda leo ndiyo mwanzo unaweza kutueleza tunaelekea wapi, kama tutapoteza, basi ni tatizo kubwa kwetu.
“Tumejiandaa na tuko safi tayari kwa mchezo ingawa dakika 90 ndiyo zitatoa jibu,” alisema.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic