January 17, 2014


Wagosi wa Kaya jana walipoteza mchezo wao wa kirafiki dhidi ya Fanja ya Oman inayovaa jezi za njano na nyeusi.


Pamoja na kupoteza mchezo huo wa jana, chini ya Kocha Yusuf Chippo, Coastal imeendelea na mazoezi leo.


Mazoezi hayo yamefanyika kwenye uwanja wa mazoezi unaomilikiwa na Shirikisho la Soka la Oman (Ofa) ulio katika eneo la See jijini Muscat Oman.

Coastal ilifanya mazoezi yake na itaendelea na ratiba huku ikitarajia kucheza mechi nyingine za kirafiki.

Wagosi wa Kaya watakuwa jijini Muscat kwa wiki mbili katika kambi ya kujiandaa na mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Bara.



 PICHA: COASTAL UNION SPORTS CLUB

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic