January 25, 2014

 
HAPA NI SIKU COASTAL ILIPOIVAA SIMBA MKWAKWANI. LEO IMETOKA SARE DHIDI YA OLJORO
Coastal Union imeuanza mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Bara kwa sare ya bao 1-1 dhidi ya JKT Oljoro.


Pamoja na kuwa nyumbani Mkwakwani, Tanga, Coastal iliyokuwa kambini nchini Oman ilijikuta ikitoka sare.

Mganda Yayo Lutimba ndiye aliifungia Coastal Union kabla ya Hamis ‘Maalim’ Saleh kufunga bao la kusawazisha kwa Oljoro katika dakika ya 88.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic