January 18, 2014

LOGARUSIC AKIWAFUNDISHA JAMBO WAANDISHI WA CHAMPIONI

Pamoja na kwamba leo watacheza mechi ya kirafiki dhidi ya Mtibwa Sugar, Simba wanataka mechi moja ya kirafiki.
Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic ametaka kupata mechi moja ya kirafiki ya kimataifa.


“Kocha amesema anataka mechi moja ya kirafiki ya kimataifa baada ya kucheza na Mtibwa Sugar.
“Baada ya hapo, atakuwa katika nafasi ya kuangalia vizuri afanye nini na kikosi chake na sisi tunalifanyia kazi,” alisema Mwenyekiti wa Kamati ya Mashindano ya Simba, Swed Nkwabi.


Simba ilifanikiwa kuingia fainali ya Kombe la Mapinduzi ambalo walilipoteza kwa KCC ya Uganda kwa kufungwa bao 1-0.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic