January 26, 2014




Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm ameamua ‘kumlipa’ yule wa Simba, Zrdavko Logarusic kwa kwenda uwanja wa Taifa, leo.

Logarusic, jana aliibuka uwanjani na kuishuhudia Yanga ikicheza dhidi ya Ashanti United na kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 kwa taabu.
Leo, van Der Pluijm, raia wa Uholanzi ataingia uwanjani hapo kushuhudia mechi kati ya Simba dhidi ya Rhino ya Tabora utakaochezwa Taifa.
“Kweli kocha anakwenda Taifa, anataka kuiona Simba,” kilieleza chanzo cha uhakika.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic