February 6, 2014





Mshambuliaji nyota wa Atlético Madrid, Diego Costa sasa ameingia kwenye za wachezaji wengine wakubwa kama Lionel Messi, Gareth Bale na Luis Suárez.
 
Kampuni ya vifaa ya Adidas ambayo imeingia naye mkataba, itaanza kumtengenezea viatu maalum kwa ajili yake kama ambavyo hufanya kwa nyota hao.

Mshambuliaji huyo mwenye asili ya Brazil ambaye sasa ana uraia wa Hispania amekuwa tishio kwenye Ligi ya Hispania ‘La Liga’ kutokana na kasi yake ya upachikaji mabao inayowapa hofu wakali kama Messi na Cristiano Ronaldo.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic