February 6, 2014





Baada ya sare ya bao 1-1 dhidi ya Mtibwa Sugar mjini Morogoro, jana, Simba imeanza safari ya kwenda Tanga.
 
Simba imeanza safari hiyo leo kwenda kuwavaa Mgambo Shooting ambayo wana hamu ya kulipa kisasi.
Katika mzungumzo wa kwanza wa Ligi Kuu Bara, Simba iliichapa Mgambo Shooting 6-0 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar.

Sasa ni wakati wa wanajeshi hao kulipa kisasi wakiwa kwenye uwanja wa nyumbani wa Mkwawani, Jumapili.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic