February 4, 2014


Kocha Hans van Der Pluijm amesema amefurahishwa na kiwango cha kiungo wake Athumani Idd ‘Chuji’.

“Ni kati ya wachezaji wazuri, atakuwa msaada,” alisema kocha huyo Mholanzi huku akisisitiza wachezaji wake wamekuwa wakijituma na anategemea makubwa.
Yanga iko kambini Bagamoyo kujiandaa kucheza na Wacomoro katika mechi yake ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

Chuji hakuwa amewahi kufanya kazi na van Der Pluijm kabla kwa kuwa hakwenda Uturuki kutokana na kusimamishwa kwa utovu wa nidhamu.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic