February 16, 2014


Mshambuliaji wa Arsenal, Olivier Giroud amelazimika kuomba mkewe Jennifer  na kocha wake, Arsene Wenger kutokana na kitendo chake cha kulala na mwanamitindo.
PICHA ILIYOZUA KIZAAZAA


Pamoja na kwamba awali alikanusha kwamba mwanamitindo Calia Key alikuwa chumbani kwake saa moja kabla ya Arsenal kuivaa Crystal Palace, lakini baadaye amelazimika kuomba radhi.
AKIWA NA MKEWE JENNIFER

Kupitia Twitter, Giroud amesisitiza kuwa anawaomba radhi mkewe, Wenger, wachezaji wenzake pamoja na mashabiki wa Arsenal.

UJUMBE ALIOWEKA TWITTER AKIOMBA RADHI

Tukio hilo lilitokea Februari 2 na mrembo huyo alijipiga picha akiwa chumbani mwa Giroud na baadaye gazeti maarufu la udaku duniani la The Sun likaichapisha picha hiyo.

 
MREMBO MWENYEWE

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic