MPIRA UMEKWISHAAA
Dk 4 za nyongeza
Dk 81, Uhuru anapiga shuti kubwa juu ya lango
Dk 72, Owino anapiga kichwa lakini kipaa juu ya lango
Dk 65, Messi anapiga mpira wa adhabu na kupaisha, Logarusic anacharuka, akimlaumu Kiemba kwa nini hakupiga yeye
Dk 62, Uhuru anaingia kuchukua nafasi ya Awadhi
Dk 57, Simba wanafanya shambulizi kali lakini wanashindwa kumalizia krosi safi ya Shamte
Dk 46, Simba wanamtoa Badru na nafasi yake inachukuliwa na Chanongo
MAPUMZIKO
Dk 45, akiwa nje ya 18, Mwalyanzi anapiga shuti kali lakini Ivo anaonyesha ufundi na kudaka
Dk 44, Badru anamtoka beki wa Mgambo lakini shuti lake linapaa juu
Dk 42, Mgambo wanapiga gonga safi, lakini Shaibu napiga shuti linalopaa juu ya lango la Simba
Dk 4 za nyongeza
Dk 81, Uhuru anapiga shuti kubwa juu ya lango
Dk 72, Owino anapiga kichwa lakini kipaa juu ya lango
Dk 65, Messi anapiga mpira wa adhabu na kupaisha, Logarusic anacharuka, akimlaumu Kiemba kwa nini hakupiga yeye
Dk 62, Uhuru anaingia kuchukua nafasi ya Awadhi
Dk 57, Simba wanafanya shambulizi kali lakini wanashindwa kumalizia krosi safi ya Shamte
Dk 46, Simba wanamtoa Badru na nafasi yake inachukuliwa na Chanongo
MAPUMZIKO
Dk 45, akiwa nje ya 18, Mwalyanzi anapiga shuti kali lakini Ivo anaonyesha ufundi na kudaka
Dk 44, Badru anamtoka beki wa Mgambo lakini shuti lake linapaa juu
Dk 42, Mgambo wanapiga gonga safi, lakini Shaibu napiga shuti linalopaa juu ya lango la Simba
GOOOOOOOOOOOO Dk 28, Peter Mwalyanza anapiga faulo kali, Ivo anaipangua na inamkuta Fully Maganga anaukwamisha mpira wavuni.
Dk 10, Tambwe anaangushwa na beki wa
Mgambo, kocha wake, Logarusic anamcharukia mwamuzi Martin Saanya ambaye aliwahi
kufungiwa baada ya kuchezesha mechi kati ya Yanga na Coastal
Dk 5, Mgambo wanafanya shambulizi lakini Full Maganga anashindwa kuwa makini
Dk 7, Bolly Shaibu anapiga shuti linapita juu ya lango la Simba
Dk 8, hadi sasa Simba hawajagusa lango la Mgambo hata mara moja.
Kikosi Simba
Ivo, Shamte, Issa Rashid, Owino, Musoti, Jonas Mkude, Amri Kiemba, Awadhi Juma, Ramadhani Singano ‘Messi’, Amissi Tambwe na Ali Badru.







0 COMMENTS:
Post a Comment