August 5, 2017



Azam FC imekubali kumuachia Gadiel Michael na sasa atacheza Yanga.

Beki huyo alilalamika kuwa Azam FC ilikuwa inambania, lakini leo Ofisa Habari wa Yanga, Jaffar Idd amethibitisha hilo.


“Yanga wamelipa nusu na sisi tumekubaliana nao kwamba tumuachie acheze, mambo mengine yatafuatia,” alisema. 

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic