February 16, 2014



Wawakilishi wa Tanzania, Azam FC wameng’olewa katika michuano ya Kombe la Shirikisho.


Azam FC imefungwa mabao 2-0 na wenyeji wake Ferreviario ya Msumbuji maarufu kama Wamakonde katika mechi iliyopigwa leo mjini Beira.
Katika mechi ya kwanza Azam FC ilishinda bao 1-0 kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamzi jijini Dar. Mfungaji akiwa Kipre Tchetche.


Kutokana na kipigo cha leo, maana yake Azam FC imetolewa kwa jumla ya mabao 2-1 na kuifanya kutoka mapema zaidi katika michuano hiyo ndani ya misimu mitatu.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic