March 25, 2014


Kocha wa Simba, Zdravko Logarusic amesema lazima kikosi chake kiongeze wachezaji wazee.

Logarusic amesema Simba ina wachezaji wengi wenye vipaji lakini inakosa wazoefu.
“Msimu unakwenda ukingoni, huu ndiyo wakati mwafaka wa kuongeza wachezaji wazoefu kwa ajili ya kikosi chetu.
“Kama ni suala la vipaji, wachezaji wetu wengi wana vipaji lakini ninahitaji wenye uzoefu zaidi. Angalau wachezaji watano wapya,” alisema.

Kuhusiana na mbio za ubingwa alisema wanaweza kuendelea kupambana lakini akakubali matumaini yako chini.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic