March 15, 2014


Mabingwa wa soka Tanzania Bara, Yanga wameanza mechi yao ya kwanza ya kiporo kwa sare.

Sare hiyo wameipata leo kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro dhidi ya wenyeji wake Mtibwa Sugar.
Pamoja na mechi hiyo kuwa na ushindani mkubwa, lakini hakuna timu iliyofanikiwa kuonja nyavu za mwenzake.

Yanga walipoteza nafasi tano katika kipindi cha kwanza na cha pili, hali kadhalika Mtibwa Sugar ambayo kama washambuliaji wake wangetumia nafasi, ingekuwa msala kwa Yanga.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic