April 20, 2014

 Bondia nyota wa Tanzania, Francis Cheka ameshindwa kuonyesha makali yake baada ya sare dhidi ya Gavad Zohrehvand wa Iran.
Katika pambano hilo lisilo la kuwania ubingwa, lililopigwa usiku wa kuamkia leo. Zohrehvand alionekana kuwa fiti kuliko wengi walivyotarajia.

Mgeni huyo alimpa wakati mgumu Cheka, hali iliyosababisha baadhi ya mashabiki waliokuwa kwenye Ukumbi wa PTA, Temeke jijini Dar, walipinga waziwazi matokeo hayo.
Baada ya pambano hilo, Zohrehvand naye alisisitiza kwamba alishinda licha ya majaji kumbeba Cheka waziwazi.





0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic