April 21, 2014


Iwapo Manchester United itafikia uamuzi wa kumfuta kazi Kocha David Moyes ‘Daudi’, makocha wanaopewa kuchukua nafasi yake ni wawili.

Kutoka Borussia Dortmund, Jurgen Klopp ambaye anapewa nafasi kubwa zaidi kutokana na mafanikio yake na klabu hiyo.
Pia Mholanzi, Louis Van Gaal ambaye hivi karibuni alikuwa anahusishwa kujiunga na vigogo wa Hispania, Barcelona kwa kuwa kocha wao, Gerardo Martino ‘Tata’, kiana amekuwa anapepesa.



0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic