April 21, 2014


Uongozi wa Man United unaonekana kupoteza uvumilivu kwa kocha wake, David Moyes.

Taarifa zinaeleza huenda akaondolewa usiku huu au kesho asubuhi kama walimiliki wa klabu hiyo watakubaliana.
Moyes aliyependekezwa na Kocha wa zamani wa Man United, Alex Ferguson, huenda akang’oka kwa kuwa amefanya vibaya sana.

Amepoteza mechi 11 za Premiership, kafeli kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya, pia amekuwa akinyanyaswa na watani wao Man City, hali inayoonyesha hauwezi msigo huo.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic