April 19, 2014

MASHABIKI WA YANGA NA SIMBA

Zile kelele za kila mmoja ni mbabe kuliko mwenzake zimemalizika kwa sare ya bao 1-1.

Yanga na Simba, hakuna mbabe na hakuna anayeweza kumtambia mwenzake tena baada ya sare hiyo ya kufunga Ligi Kuu Bara kwenye Uwanja wa Taifa, leo.

Mabao yote yamepatikana katika kipindi cha pili tena dakika 10 za mwisho baada ya Simba kufunga lao katika dakika ya 82 kupitia Haruna Chanongo.
Lakini Yanga, wakasawazisha dakika ya 85 kupitia kwa Simon Msuva aliyepokea pasi ya Didier Kavumbagu.


Mechi hiyo ilikuwa na vivutio vingi na Simba walionekana kuutawala mpira katika kipindi cha kwanza.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic