September 28, 2014

Mara baada ya mechi ya watani dhidi ya Everton. Mshambuliaji nyota wa Liverpool, Mario Balotelli aliamua kuingia mitaani.

Alionekana katika jiji la Liverpool akiwa na simu tatu katika mikono yake miwili, utafikiri Papaa.
Mastaa wengi wa nje wamekuwa wakitumia simu moja tu tofauti na Bongo.
Lakini Balotelli aliokuwa tofauti na mambo yake kumbe ni kama Bongo tu.



0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic