November 1, 2014

 Real Madrid imeshinda kwa mara ya 11 na kufunga mabao 17 za La Liga baada ya leo kuitungua Granada kwa mabao 4-0.


Katika ushindi huo wa ugenini, mshambuliaji James Rodriguez ameanza kuonyesha cheche zake kwa kufunga mabao mawili.
Mabao mengine ya Madrid yamefungwa na washambuliaji nyota Cristiano Ronaldo na Karim Benzema.
Ronaldo ndiye alifunga bao la kwanza baada ya kucheza kwa sekunde 99 tu.








0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic