November 2, 2014


Licha ya kuwa na kikosi chenye fowadi kali na ghali, Barcelona ikiwa nyumbani Camp Nou imekubali kipigo cha bao 1-0.

Bao lililofingwa na mshambuliaji  Joaquin Larrivey wa Celta Vigo limeimaliza Barcelona yenye wakali kama Lionel Messi, Luis Suarez na Neymar.


Juhudi za angalau kutaka kupata sare zilikuwa kubwa lakini mwisho Barcelona ikalala nyumbani katika mechi hiyo ya La Liga.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic