November 1, 2014


Hatimaye aliyekuwa kipa wa Orlando Pirates, Senzo Meyiwa amezikwa kwa heshima kubwa.
Meyiwa aliyekuwa pia nahodha wa timu ya taifa ya Afrika Kusini ‘Bafana Bafana’ amezikwa kwao Durban.

Amezikwa kwenye makaburi ya watu maarufu ya Chesterville karibu kabisa na alipozikwa aliyekuwa mwandishi maarufu Nat Nakasa.
Mashabiki walijitokeza kwa wingi kuuaga mwili wake katika Uwanja wa Moses Mabida mjini Durban.

Kipa huyo aliuwawa kwa kupigwa risasi na watu wanaominiwa kuwa majambazi na tayari mtu mmoja amekamatwa akituhumiwa kwa mauaji hayo.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic