Shabani Kisiga aliporejea Simba akitokea
Mtibwa Sugar, alimkuta mchezaji mwenzake wa zamani, Selemani Matola akiwa kocha
msaidizi.
Hivyo Matola ambaye walicheza na Kisiga
kikosi kimoja cha Simba, ikawa ni mtu na bosi wake.
Sasa mambo hayo yamehamia Atletico Madrid wakati Fernando Torres ameamua kurejea nyumbani akitokea AC Milan kwa mkopo.
Torres anamkuta bosi wake mkuu ni Diego
Simeone ambaye alicheza naye katika kikosi hicho kabla ya kuondoka na kujiunga
na Liverpool.
Tena Torres licha ya kuwa kinda wa miaka 21,
alipewa unahodha wa kikosi hicho.
0 COMMENTS:
Post a Comment