STAND UNITED. |
Mtibwa Sugar imefanikiwa kupata sare katika
Uwanja wake wa nyumbani wa Manungu Complex baada ya kusawazisha katika dakika
za mwisho dhidi ya Stand United.
Mtibwa ilisawazisha bao lake katika dakiak
10 za mwisho baada ya Stand kupata bao mapema kabisa.
Mechi hiyo ilikuwa ni ya kiporo baada ya
kuahirishwa jana kutokana na mvua kubwa kusababisha maji kujaa uwanjani.
Kutokana na hali hiyo, mechi hiyo ilianza
kuchezwa kuanzia dakika ya sita ambayo iliishia jana.
WANAJESHI:
Jana Ruvu Shooting walicheza dhidi ya ndugu
zao Ruvu JKT katika mechi iliyopigwa usiku kwenye Uwanja wa Azam Complex,
Chamazi, Dar.
JKT ndiyo walifanikiwa kuibuka na ushindi wa
bao moja dhidi ya wapinzani na ndugu zao hao.
0 COMMENTS:
Post a Comment