January 15, 2015

Mshambuliaji wa Man City, Sergio Aguero amesema anataka kufanya vema zaidi katika mechi dhidi ya Arsenal, Jumapili.

Raia huyo wa Argentina alikaa nje ya uwanja zaidi ya wiki tatu kutokana na kuwa majeruhi.

Aguero alirejea uwanjani katika mechi dhidi ya Everton ambayo iliisha kwa sare ya bao 1-1.

Lakini amesema anaamini ushindani mkubwa katika mechi dhidi ya Arsenal itakuwa ni changamoto ya kujituma zaidi ndiyo maana amekuwa akifanya mazoezi kwa juhudi zaidi.


“Ninaamini itakuwa ngumu, lakini napenda ushindani ili nifanye vizuri zaidi,” alisema.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic