January 15, 2015


Mkongwe, Ronaldo di Lima amepanga kurejea uwanjani licha ya kuwa na umri wa miaka 38.


Ronaldo amesema ataichezea timu yake anayoimiliki ya Fort Lauderdale Strikers inayoshiriki ligi daraja la pili.


Hata hivyo Ronaldo amewaambia waandishi atacheza kama kocha atakuwa anamhitaji.

“Naamini naweza kusaidia. Lakini nitafanya hivyo kama kocha atakuwa ananihitaji,” alisema.


Mara ya mwisho alicheza soka la ushindani mwaka 2011.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic