February 18, 2015



Februari 18 ni siku muhimu sana nchini China, ndiyo mwaka mpya wao unaojulikana kama Kondo.

Watanzania wanaosoma nchini humo akiwemo mchambuzi maarufu wa michezo anayepatikana katika gazeti la Championi Evance Mhando waliunga na Wachina.
Watanzania hao waliamua kusherekea siku hiyo kwa kwenda pamoja kupanda mlima wa Meillin.

Katika kusherekea sikuku hiyo umoja wa wanafunzi wa Kitanzania wanasoma kwenye mjii wa Nanchang (Natasa)  uliandaa safari ya kwenda kupanda mlima.
Mlima huo unaitwa Meilin uliopo hapa hapa Nanchang ilikujumuia na jamii ya Kichina katika kusherekea sikuku ya mwaka mpya wao.

Pamoja na Watanzania hao na mchambuzi huyo wa michezo, pia alikuwepo Katibu Mkuu wa Natasa, Halima Guga na Mratibu wa Elimu wa Natasa, Abdul Bashi wakiongoza msafara wa kupanda Mlima Meilin.
Kwa pamoja Watanzania hao waliimba kwa furaha, mara kadhaa wakiweka vituo kwa ajili ya kupumzika na kupiga picha.

ANGALIA PICHA:












0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic