February 19, 2015

 Mashabiki wa Feyenoord ya Uholanzi wamezichapa vilivyo na askari polisi wa mji wa Roma nchini Italia.

Mashabiki hao walikuwa mjini humo kuiunga mkono timu yao ikikipiga dhidi ya Roma katika Ligi ya Mabingwa Ulaya.
Polisi wmefanikiwa kukamata mashabiki 33 katika vurugu hizo jana.
Mashabiki hao wa Feyenoord wanaokadiriwa kufikia 6,000 walikabiriana vilivyo na askari hao katika eneo la vivutio vya utalii wa jiji la Roma.
Mashabiki kadhaa walijeruhiwa pamoja na askari polisi kutokana na vurugi hizo zilizodumu kwa zaidi ya saa nane.


















0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic