March 12, 2015

Bayern Munich imesonga hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa kwa kuichapa Shaktar Donestic kwa mabao 7-0.


Baada ya sare ya 0-0 ikiwa ugenini, Bayern imewatandika wageni wake kwa mabao hayo saba huku wakiwa pungufu baada ya mchezaji wao mmoja kulambwa kadi katika dakika ya 3 tu.

Washambuliaji wake Mario Gotze, Robert Lewandowsky, Frank Ribery na Thomas Muller kila mmoja ‘amecheka’ na nyavu.









0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic