Shrikisho la Soka Tanzania (TFF),
leo hii limepokea maombi toka Baraza la Vyama vya Mpira wa Miguu Afrika
Mashariki na Kati (Cecafa), likiitaka Tanzania kuwa mwenyeji wa mashindano hayo
ngazi ya vilabu yatakayotimua vumbi kuanzia mwezi Julai mwaka huu.
Kufuatia maombi hayo ya
uenyeji wa michuano ya CECAFA kwa ngazi za vilabu Bingwa Afrika Mashariki na
Kati (Kagame CUP), TFF inatafakari juu ya maombi hayo na itayatolea maamuzi.
Hata hivyo, Katibu Mkuu wa
Cecafa, Nicholas Musonye ameishathibitisha kuwa michuano hiyo itafanyika
Tanzania Bara.








0 COMMENTS:
Post a Comment