June 15, 2015


Unaweza kusema soka linalipa aluu! Maana magwiji wa zamani, Ryan Giggs na Garry Neville wanamiliki hoteli maarufu karibu kabisa na uwanja wa Old Trafford.


Pamoja na wao, wengine wenye hisa za umiliki ni Phil Nevile na Paul Scholes. Inajulikana kama Hotel  Footballl.

Imeelezwa inaingiza faida kubwa na hata uongozi wa Manchester United umekuwa na mpango wa kuinunua.

Faida nzuri ambayo wamekuwa wakipata, magwiji hao wa Man United wako katika hatua za mwisho kutaka kufungua hoteli nyingine karibu kabisa na Uwanja wa Etihad unaomilikiwa na Manchester City. Soka linalipa ukiwa makini.
















0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic