June 18, 2015

AKIPAMBANA NA NIYONZIMA...
Mohammed Fakhi ni kati ya wachezaji wapya watakaoitumikia Simba msimu mpya.


Fakhi amejiunga na Simba akitokea Ruvu JKT. Beki huyo alikuwa kati ya waliofanya vizuri msimu uliopita na sifa yake moja ni mpira uende, mchezaji abaki.
AKIMDHIBITI MRWANDA

Maana akizidiwa anavuta, ili mradi kuhakikisha mchezaji wa timu pinzani hapiti. Lakini akiona mpinzani ni msumbufu, basi “anakula” zote.

Angalia picha hizo mbili, juu akijaribu kuwadhibiti Danny Mrwanda wa Yanga hali kadhalika kiungo, Haruna Niyonzima wa Yanga pia.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic