Kikosi cha Taifa Stars chini wazalendo
wakiongozwa na Charles Boniface Mkwasa kimeendelea na mazoezi kwenye Uwanja wa
Boko Veterani jijini Dar es Salaam.
Kikosi hicho kinajiandaa na mechi dhidi
Uganda kuwania kucheza michuano ya Chan. Mechi hiyo inachezwa wikiendi hii jijini Kampala.
Tayari Stars ina deni baada ya kutwangwa
mabao 3-0 ikiwa chini ya kocha Mart Nooij raia wa Uholanzi ambaye tayari
ametupiwa virago.
0 COMMENTS:
Post a Comment