July 28, 2015



Gor Mahia imetinga nusu fainali ya Kombe la Kagame baada ya kuishina Malakia kwa mabao 2-1.


Mabao ya Gor Mahia, yote mawili yalifungwa na Mganda, Geogrey Walusimbi.

Sasa Gor Mahia itakutana na Al Kharthoum ya Sudan ambayo imeitoa shoo APR kwa kuichapa mabao 3-0.


Robo fainali mbili za mwisho zitachezwa kesho huku timu za Tanzania, Yanga na Azam FC zikikutana.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic