July 29, 2015


Tayari Kocha wa Yanga, Pluijm amesema ameandaa wachezaji makini ambao watapiga penalti zitakazopatikana wakati wa mchezo hata zile za mwisho wa mechi kama wakitoka sare.


“Ilikuwa ni tatizo la kisaikolojia tu, nimewaandaa wachezaji wangu vizuri kuweza kupiga penalti katika mchezo huu kwani ni utaratibu wangu katika kila mechi tunayoelekea kucheza,” alisema.

Yanga ilikosa penalti tatu katika michezo miwili ya kwanza kwenye michuano hiyo.

Katika mechi ya kwanza ya robo fainali leo uwanjani hapo, Al Shandy ya Sudan itacheza na KCC ya Uganda.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic