July 18, 2015

UHURU SELEMANI (KUHOTO) WAKATI AKIWA SIMBA..
Kiungo mshambuliaji wa Simba SC, Uhuru Suleiman Mwambungu amejiunga na Jomo Cosmos ya Afrika Kusini kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu ya Afrika Kusini (ABSA) akiwa huru.


Msimu uliopita Uhuru aliichezea Mwadui FC kwa mkopo akitokea Simba na kuisaidia kupanda kucheza ligi kuu msimu ujao.

Nyota huyo na wachezaji wengine sita walitambulishwa juzi kwenye mkutano na waandishi wa habari na mwenyekiti na kocha wa klabu hiyo, Jomo Sono.

Wakati huohuo timu ya Polisi Tabora iliyopo Daraja la Kwanza Bara imekamilisha usajili wa wachezaji Benedict Ngassa, Ahmed 

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic