August 4, 2015

Mshambuliaji mpya wa Chelsea, Radamel Falcao amesema wala hana presha.


Falcao ambaye amejiunga na Chelsea akitokea AS Monaco iliyokuwa imempeleka Man United kwa mkopo, amesema ana imani mvua ya mabao kutoka kwake inakuja.

“Kweli sikuwa na msimu mzuri Man United, lakini sasa nina nafasi ya kuonyesha ninaweza.
“Najua nitafunga, najua mabao yatapatikana na sipaswi kuwa na presha,” alisisitiza.

Mambo yake hayakwenda vizuri akiwa na Man United, hali inayoonyesha kwamba itampa presha zaidi akiwa Chelsea ambayo imemnunua kabisa.



0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic