August 2, 2015




Ubingwa wa Kagame umetolewa zawadi kwa tajiri namba moja nchini, Salim Said Bakhresa.


Leo ndiyo sikukuu ya kuzaliwa ya Bakhresa anayeimiliki Azam FC.

Kocha wa Azam FC, Stewart Hall amesema leo ni siku maalum kwa tajiri huyo asiye na mbwebwe na ubingwa huo wameutoa kwa tajiri huyo.

Azam FC imeshinda ubingwa huo kwa mara ya kwanza baada ya kuishinda Gor Mahia kwa mabao 2-0.

Timu hiyo imeshinda ubingwa kwa mara ya kwanza bila ya kufungwa hata bao moja.



0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic