August 5, 2015

SHERMAN AKIWA KATIKA SARE ZA MPUMALANGA
Wakala wa mshambuliaji mpya wa Mpumalanga Balack Aces, amesema ana imani kubwa na mshambuliaji huyo kufanya vema.


Gibby Kalule amesema Sherman ana uwezo mkubwa, kinachotakiwa ni kumpa muda tu.
 
GIBBY (KULIA) AKIWA NA SHERMAN, LANSANA DIARA NA ABOAGYE
“Ligi ya Afrika Kusini ni ngumu na kubwa, Sherman ni mchezaji mzuri anayejitambua. Kinachotakiwa hapa ni muda tu.
“Kama atapewa muda, nina imani atafanya vizuri tu. Ni mtu anayeweza ushindani,” alisema.


Sherman raia wa Liberia amejiunga na Aces akitokea Yanga ambayo ameichezea kwa msimu mmoja tu.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic