August 4, 2015

Je, unajua kikosi cha kuwa wachezaji saba raia wa Tanzania walikuwa katika kikosi cha Azam FC kilichofanikiwa kutwaa ubingwa wa Kagame dhidi ya Gor Mahia?


Wachezaji hao ni kipa Aishi Manula, John Bocco aliyekuwa nahodha, Himid Mao, Aggrey Moris, Said Morad, Ame Ally, Shomari Kapombe na Shah Farid Mussa.

Wakati wageni watatu walioanza walitokea katika nchi mbili tu za Rwanda na Ivory Coast.



Wageni hao walikuwa ni Jean Baptiste ‘Mugiraneza’ kutoka Rwanda pamoja na Serge Wawa na Kipre Tchetche kutoka Ivory Coast.

Katika mechi hiyo ambayo Azam FC walishinda kwa mabao 2-0, moja lilifungwa na mwenyeji Bocco na moja likafungwa na mgeni Kipre hali inayoonyesha kiasi gani wageni na wenyeji walivyo na mchango mkubwa katika kikosi hicho.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic