October 21, 2015



Kocha Mkuu wa Simba, Dylan Kerr ameamua 'kujiripua' kwa kumuanzisha mshambuliaji Pape N'daw katika mechi ya leo dhidi ya Prisons.


N'daw amekuwa akisota benchi na Kerr ameamua kumpa nafasi ya kikosi cha kwanza mara ya kwanza.

Kikosi Simba:

Agban, Hassan Kessy, Mohammed Hussein’Tshabalala’, Isihaka Hassan, Juuko Murishid, Justice Majabvi, Simon Sserunkuma, Awadh Juma, Pape N'dew, Joseph Kimwaga na  Peter Mwalyanzi.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic