November 9, 2015


Kweli mshambuliaji nyota wa Barcelona, Lionel Messi ni majeruhi, lakini Barcelona bado ina ‘watu’.


Neymar amethibitisha hilo baada ya kuifungia mabao mawili wakati ikiitandika Villareal kwa mabao 3-0 katika mechi ya La Liga.

Aliyemalizia kazi hiyo ni mtukutu Luis Suarez ambaye alifunga bao hilo moja.







0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic