April 24, 2016

 

Bao la Angelo Correa limeifanya Atletico Madrid iendelee kuwa kwenye ramani ya ushinda wa La Liga.

Bao hilo pekee katika dakika ya 63, limeipa Atletico ushindi wa bao 1-0, sasa inaendelea kubaki katika nafasi ya pili kwa msimamo wa La Liga.

Ilikuwa mechi kali na licha ya kuwa ugenini, Atletico ilionyesha imepania kushinda.

Kocha wake, Diego Simeone alikuwa jukwaani akitumikia adhabu lakini midadi yake ilikuwa kama kawa.






0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic