May 26, 2016

ALVES (KULIA) AKIWA NA SALEHJEMBE
Beki mkali wa kulia wa Barcelona, Dani Alves anatarajia kujiunga na Juventus ya Italia kwa ajili ya msimu ujao.

Raia huyo wa Brazil aliyeichezea Barcelona kwa mafanikio makubwa, anatarajia kujiunga Juventus kwa kitita cha pauni million 5.3.

Tayari Alves ana miaka 33, lakini ni kati ya mabeki bora kabisa wa kulia kuwahi kutokea katika kikosi cha Barcelona na Brazil pia.



0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic