July 26, 2016




Benchi la Ufundi la Azam FC linaloongozwa na Wahispania, limeendelea na kazi yake mjini Zanzibar kujiandaa na msimu mpya wa Ligi Kuu Bara.
Lakini moja ya kazi hiyo ni kuhakikisha beki, Shomari Kapombe anarejea katika kiwango chake.

Kapombe alionekana ana kitambi na kuzua gumzo. Lakini kukaa kwake nje kwa zaidi ya miezi miwili kulisababisha yeye kuongezeka uzito kwa kasi.


Sasa amekuwa akipewa mazoezi maalum na kocha wa viungo wa Azam FC ili kuhakikisha anakuwa kwenye kiwango bora.



0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic