July 5, 2016


Kocha mpya wa Man United, Jose Mourinho amesema maneno kadhaa mara tu baada ya kukabidhiwa kikosi hicho kwa kutangazwa mbele ya waandishi.

Katika shughuli hiyo ya kutangazwa leo, Mourinho amesisitiza suala la kuhakikisha Man United inakuwa timu inayofuzu kwa uhakika kucheza michuano ya kimataifa hasa Ligi ya Mabingwa.

Lakini amesisitiza atakuwa ni mtu mwenye kufanya maamuzi magumu bila ya uoga.

Kilichowavutia wengi, ni baada ya Mourinho kusema anahitaji kila kitu na kama inawezekana ni kushinda mataji yote.

TAKWIMU:
UMRI: 53
CLUB ALIZOFUNDISHA:
2000 Benfica
2001-02 Uniao de Leiria
2002-04 Porto
2007-07 Chelsea
2008-10 Inter Milan
2010-13 Real Madrid
2013-15 Chelsea
2016-present Manchester United
Honours:
Champions League x2
UEFA Cup x1
Premier League x3
FA Cup x1
League Cup x3
La Liga x1
Spanish cup x1
Serie A x2
Italian cup x1 
Portuguese league x2
Portuguese cup x1 






0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic