July 19, 2016

RATIBA ILIYOZAGAA MTANDAONI
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), linaonekana kuhaha kuzuia ratiba ya Ligi Kuu Tanzania Bara, iliyovuja.

Ratiba hiyo ya msimu wa 2016-17 inaonekana kuzagaa kwa kasi mitandaoni hali inayoonyesha kuwa imevuja.

Msemaji wa TFF, Alfred Lucas amesema hakuna ratiba ambayo imetoka na hiyo haiwezi kuwa sahihi.


“Hakuna ratiba official, haiwezi kutoka kienyeji hivyo. Baada ya kuwa imetoka basi TFF itatangaza rasmi,” alisema.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic