July 18, 2016


Kikosi cha Borussia Dortmund cha Ujerumani kimeanza maandalizi ya msimu mpya wa Bundesliga kikiwa kimepania kurejesha heshima na kubeba ubingwa.

Dortmund ambao wamesajili wachezaji wapya ambao wanaamini watasaidiana na waliopo kukifanya kikosi chao imara, safari hii wamekuwa wakizunguka na ndege aina ya Air Bus iliyopambwa kwa rangi za timu hiyo, yaani njano na nyeusi.

WACHEZAJI WAPYA:
Mikel Merino KUTOKA Osasuna
Ousmane Dembele KUTOKA  Stade Rennais
Marc Bartra KUTOKA  Barcelona
Sebastian Rode KUTOKA  Bayern Munich
Emre Mor KUTOKA  Nordsjaelland

Raphael Guerreiro KUTOKA  Lorient 



0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic