August 21, 2016

Simba ilianza Ligi Kuu Bara msimu wa 2016/2017 vizuri kwa kupata ushindi wa mabao 3-1 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, jana Jumamosi. Hivi ndivyo ilivyokuwa, lakini habari nyingine ni kuwa Kocha wa Yanga, Hans van Pluijm alikuwepo kuwashuhudia wapinzani wake hao ambao wanaonekana kuanza kwa kasi msimu huu.
 
Kocha wa Yangaakiwa jukwaani akiishuhudia Simba, jana


Kikosi cha Simba

Timu zikiingia uwanjani

Mavugo baada ya kufunga bao la kwanza.
 
Wachezaji wa Simba wakishangilia bao la Mavugo

Ajibu wa Simba akibanwa na walinzi wa Ndanda.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic